Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, inatrajia kutoa hatifungani yake ya kwanza ya Sukuk wakati wowote kuanzia tarehe 22 Februari 2025. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni maalumu iliyoundwa na serikali (Zanzibar Treasury Sukuk1 Limited) kwa ajili ya kutoa hattifungani hiyo, Waziri wa Nnchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango, Dkt Saada Mkuya Salim alisema. "Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kutoa hatifungani ya Sukuk kwa ajili ya kuwezesha miradi ya maendeleo ya Serikali na kuwapa fursa Watanzania wote bila kujali tofauti zao za kidini, walioko ndani na nje ya Tanzania, kuwekeza katika hatifungani hii". Hatifungani hii ya serikali inayozingatia misingi ya Shari'ah (Halal) itakuwa ya kwanza katika eneo lote la Afrika Mashariki na Kati. Ni aina ya Ijara Sukuk na itakuwa na faida (siyo riba) ya asilimia 10.5 kwa mwaka itkayolipwa kwa awamu mbili na ni ya miaka saba (7). Awali akiongea katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Zanzibar Treasury Sukuk1 Limited, Mwenyekiti wa Bodi hiyo, CPA Juma Amour, aliipongeza serikali ya Zanzibar kwa kutekeleza ndoto ya muda mrefu kuhusu Sukuk. Mchakati wa Sukuk hii unaoongozwa na Mwenyekiti Mtendaji wa Yusra Sukuk Company Limited, Sheikh Mohamed Issa, taasisi ambayo ndiyo Mshauri Elekezi aliyepewa kazi hiyo na Serikali ya Zanzibar. Tukio la Uzinduzi wa Sukuk ya Zanzibar linatarajiwa kufanyika tarehe 22 Februari 2025 katika viwanja vya Ikulu Zanzibar na kuongozwa na Rais wa Zanzibar, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi na kuhudhuriwa na wageni mbali waalikwa wakiwemo mabalozi wa nchi za nje na washirika wa maendeleo. Hii ni fursa adhimu kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kw anjia ya Halal. Bodi ya Ushauri wa Kishari'ah chini ya Kituo cha Usimamizi wa Masual aya Kifedh ana Udhubiti (CIFCA) inaongozwa na Prof. Hamed Hikmany, ilikabidhi cheti cha Sukuk ya Zanzibar kukidhi masharti ya Shari'ah (yaani Shari'ah Compliant Certificate) kwa Mwenyekiti wa Bodi ya SPV, CPA Juma Amour mbele ya Waziri Saada Mkuya, wanahabari na waalikwa wengi. Katika hatifungani hii ya Sukuk ya Zanzibar, kuna washauri elekezi wengine saba (7) ambao ni CIFCA, Lawfields Advocates and Legal Consultants, BM Attorneys, BDO-Tanzania, PBZ Ikhlas, CSDR, Sovereign Africa Ratings (ya Afrika ya Kusini) na ZIC Takaful.
This an event article, used for writing about and listing the events planned for the future on your website. You can edit all of this text from the Pages tab by clicking the edit button.
This an event article, used for writing about and listing the events planned for the future on your website. You can edit all of this text from the Pages tab by clicking the edit button.
This an event article, used for writing about and listing the events planned for the future on your website. You can edit all of this text from the Pages tab by clicking the edit button.
With our thorough market analysis, investment advisors and being the only Shari'ah-compliant capital markets dealers in Sub-Saharan Africa (according to Islamic Finance News of Kuala Lumpur, Malaysia) we provide professional services for Sukuk bond issuances to finance various entities (sovereigns, Quasi-Sovereigns, Government Related Entities, Municipalities and Private Corporates). We have the deep insights on Shari'ah-compliant products to guide your investment decisions securely. When it comes to delivering Sukuk bonds knowledge and services, you can wholly trust Yusra Sukuk Company limited: Sheikh Mohamed Issa Certified Sukuk professional Company Executive Chairman
With our portfolio management service for your investments in Shari'ah-compliant products ensures that your investments are well-balanced and optimized for maximum returns.
We tailor investment strategies to align with your financial goals, ensuring sustainable growth and risk management of your business. We got economists, Risk Management professionals with year sof experience in Risks and Risk Management
This is a generic article you can use for adding article content / subjects on your website.
Read MoreThis is a generic article you can use for adding article content / subjects on your website.
Read MoreThis is a generic article you can use for adding article content / subjects on your website.
Read MoreThis is a generic article you can use for adding article content / subjects on your website.
Read MorePremier Sukuk, a private offer, the first of its kind in Sub-Saharan Africa and beyond, was launched today the 11th July, 2024 at Hyatt Regency Hotel, Dar es Salaam (formally The Kilimanjaro Hotel). The event was graced by the presence of CPA Nicodemus Mkama, the Capital Markets and Securities Authority (CMSA) Chief Executive Officer, Madame Mary Mniwasa (The Acting Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) Chief Executive Officer, Yusra Sukuk Executive Chairman and Board of Directors and other dignitaries as well as Sukuk transaction parties and investors. The Sukuk bond categorized by CMSA as a Socially Responsible Investment (SRI) instrument garnered TZS 1.94 billion Tanzanian Shillings from the original intended TZS 1.2 billion prompting CMSA to issue an approval of a Green Shoe option. The Sukuk is the first of its kind because it was issued by a secondary school, a non-financial institution hence breaking the trend of financial institutions only issuing Sukuk in Tanzania. It is the first to be issued via a Special Purpose Vehicle (SPV) as the Sukuk Issuer/Trustee as well since all the past Sukuk issued in Tanzania had no SPV . It was also the maiden Sukuk issuance to Yusra Sukuk Company Limited since its licensing by CMSA in 2023, opening the way for more Sukuk issuance in which Yusra Sukuk Company Limited will feature as a Lead Arranger or Transaction manager.
This an event article, used for writing about and listing the events planned for the future on your website. You can edit all of this text from the Pages tab by clicking the edit button.
This an event article, used for writing about and listing the events planned for the future on your website. You can edit all of this text from the Pages tab by clicking the edit button.
This an event article, used for writing about and listing the events planned for the future on your website. You can edit all of this text from the Pages tab by clicking the edit button.